
Viongozi-Wananchi Connection's Community Baraza La Maongezi Kwa Watanzania Popote Pale Walipo. |
| | | | "Stop this debate on the Union"- says Mwinyi | Sun Jul 27, 2008 6:40 pm by rekeshei | Retired president Ali Hassan Mwinyi has intervened in the ongoing public debate about the status of Zanzibar, saying the debate should stop. The elder statesman told a press briefing yesterday that the status of Zanzibar and a series of questions concerning its ‘sovereignty’ should await consultations of attorneys-general of the Union and Zanzibar governments as advised by Premier Mizengo Pinda. ...
[ Full reading ] | | Comments: 1 |
| MBOWE anahusika vipi na kifo cha CHACHA WANGWE ?? | Wed Jul 30, 2008 4:46 pm by pedejee | Mwenyezi Mungu ampokee marehemu Chacha Zakayo Wangwe na ampumzishe katika makao yake ya milele.
Kwa wale wanaofuatilia mambo ya siasa nchini Tanzania sidhani kama kweli wanaweza wakashtushwa na kichwa cha habari. Kwa muda sasa kulikuwa na tofauti kubwa kati ya Freeman Aikaeli Mbowe (Mwenyekiti taifa wa CHADEMA) na marehemu Chacha Wangwe. Tofauti hizi zilikuwa ni za kihoja na ikaf...
[ Full reading ] | | Comments: 1 |
| BREAKING NOW: Sababu ya kuvamiwa MWANAHALISI yagundulika | Sun Jul 20, 2008 2:00 am by RAI | JESHI la Polisi nchini linaendelea kumchunguza Mhariri wa Gazeti la Mwana Halisi Bw. Saed Kubenea kwa tuhuma za kuhusika kusambaza akaunti za baadhi ya wateja wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwenye mtandao wa Internant kinyume na sheria.
Kauli hiyo ilitolewa Dar es Salaam jana na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Bw. Robert Manumba, baada ya makachero wa Jeshi la Polisi kuva...
[ Full reading ] | | Comments: 0 |
| DEVELOPING: Kapuya proposes a good idea..but will it work ? | Thu Jul 17, 2008 2:33 pm by RAI | Kapuya calls for transferability of benefits, pensions
2008-07-17 11:03:02
By Correspondent Rosemary Mirondo
The Confederation of East African Trade Union (EATUC) has been asked to look into the transferability of benefits and pensions.
Minister for Labour, Employment and Youth Development, Prof. Juma Kapuya has called upon EATUC to pu...
[ Full reading ] | | Comments: 1 |
| Anna Kilango's Moments: Was It Real Or Was It Hypocrisy ? | Sun Jun 22, 2008 2:42 am by rekeshei | [b]Asalaam Aleykum, karibuni tena siku ya leo katika baraza la maongezi ya watanzania popote pale walipo. Leo nimeamua kuandika habari hii yenye kuonyesha maswali mawili matatu ambayo kwa kweli nisingependa niyajibu mimi binafsi bali nitawaachia wasomaji waweze kuhumu wenyewe.
Hivi karibuni, bila shaka utakuwa umesikia habari za mbunge Anna Kilango (mke wa mzee Malecela) akitoa hoja za...[/b]
[ Full reading ] | | Comments: 5 |
| Jk challenges local gov't authorities: The link between local gov't and the Central gov't. | Thu Jul 17, 2008 2:34 pm by RAI | JK tells local councils: Make your own money
2008-07-17 11:12:47
By Lydia Shekigenda, Korogwe, Tanga
President Jakaya Kikwete has advised local governments to build up their own sources of revenue rather than rely solely on central government subsidies.
Speaking in Korogwe yesterday, President Kikwete said subsidies were only meant to ...
[ Full reading ] | | Comments: 0 |
| TULIKOTOKA | Wed Jul 16, 2008 7:20 am by dRU | Paukwa ……. Pakawa … aliondokea chanjagaa mwanangu mwana wa siti kijino kama chikichi …. …………. Naam taim ….!!!!!
Hakika kilikuwa ni kipindi ambacho tulidiriki kusimama na kutembea kifua mbele iwe katika kambi za Jeshi la Kujenga Taifa ama hata katika sherehe za kitaifa huku tukiimba nyimbo za hamasa kwa kutamka kwa imani zaidi tukisema “Tunaimani na Nyerere .. Oya oya oyaaaa .. Ny...
[ Full reading ] | | Comments: 2 |
| JUST IN: Mzee Chifupa adai kwamba waliohusika na kifo cha Amina kutajwa.. | Sun Jul 13, 2008 3:48 pm by rekeshei | Baba mzazi wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia Umoja wa Vijana (UVCCM), marehemu Amina Chifupa, jana alikuja juu akisema kwamba majina ya vigogo waliosababisha kifo cha mwanae wataanikwa hadharani tena mbele ya waandishi wa habari hivi karibuni.
Mzee Hamis Chifupa aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kwamba kabla ya mwanae hajafa kuna aliowataja kwa mabaya na ...
[ Full reading ] | | Comments: 2 |
| CCM Ina nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi mkuu 2010 | Tue Jul 15, 2008 4:10 pm by rekeshei | Najua wengi wanaweza kushangaa kwa nini kichwa cha habari kipo kama hivyo kilivyo na wengine hata kunifikiria vibaya kwa nini nimeandika hivyo. Lakini ukweli ni kwamba siku zote katika masuala ya siasa, uvumilivu na uwezo wa kuwa na mbinu mbali mbali ndio mambo makuu mawili ambayo huchangia katika chama chochote kile kuendelea kukaa madarakani. Baada ya kusema hayo ni dhahiri kwamba hadi hivi sasa...
[ Full reading ] | | Comments: 0 |
| | Statistics | We have 16 registered users The newest registered user is Daywell
Our users have posted a total of 50 messages in 33 subjects
| | Who is Online ? | In total there is 1 user online :: 0 Registered, 0 Hidden and 1 Guest None Most users ever online was 5 on Mon Jun 23, 2008 5:57 am |
|
| |
|